Showing posts with label WhatsApp Videoz. Show all posts
Showing posts with label WhatsApp Videoz. Show all posts

Sunday, March 27, 2016

Serikali Yaanda Muongozo wa Ajira kwa Vijana


Kutokana na Tanzania kuwa na uchumi wa soko huria vijana wengi wameanza kushiriki katika sekta isiyo rasmi hivyo kunawafanya kuchangia nusu ya uchumi wa Taifa katika shughuli zao za kila siku.

Hayo yamesemwa na mkurugenzi msaidizi wa Taasisi ya Soko la Ajira Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Ahmed Makbel wakati akizungumza kuhusu mikakati mbalimbali na hatua zilizoanza kuchukuliwa na serikali  ili kuhakikisha inawainua vijana kiuchumi.

Makble amezitaka taasisi zisizo za kiserikali kushirikiana na Serikali ili waweze kutekeleza maagizo ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kuhakikisha vijana wanafanya kazi zenye staha na kipato kizuri pamoja na mazingira mazuri ya kazi.

Mkurugenzi huyo amesema serikali imeanza kufanyia kazi baadhi ya mapendekezo ya wadau wa maendeleo kuhusu kuwainua vijana kuanzia kwenye vipato vyao vya kila siku sambamba na kuhakikisha fedha mbalimbali zinazotolewa na serikali ziwafikie walengwa wa mifuko hiyo.

Makbel ameongeza kuwa wahusika wakuu wa serikali kuanzia ngazi ya mtaa watoe mazingira rafiki kwa vijana ili waone wao ni sehemu kubwa yakuchangia pato la taifa na serikali kuu wameanza vikao vya pamoja ili waone wanatekeleza vipi mipango ya kukuza uchumi wa vijana.

Saturday, March 26, 2016

CHIDI BENZ APELEKWA BAGAMOYO SOBER HOUSE KWA AJILI KUMSAIDIWA KUACHA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA

Meneja wa Diamond, Babutale akishirikiana na Kalapina wamemchukua Chidi Benz na kumpeleka Life and Hope Rehabilitation Organization iliyopo Bagamoyo kwa ajili kumsaidiwa kuacha matumizi ya madawa ya kulevya.
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni rapa huyo kuomba msaada baada ya kuona ameshindwa kukabiliana na matatizo ya kiafya ambayo yamekuwa yakimkabili.
Kupitia instagram, Babutale amepost video na kuandika:
"Mwana amekubari kukaa Soba ila anasisitiza wana mje kumtembelea kumpa hope na kuleta mapokopoko manjari. Mungu bariki hii safari ya matumaini"
Katika video hiyo Babu Tale alisema wamefika salama Life and Hope Rehabilitation Organization, Huku Kalapina akiomba mungu kumsaidia Chidi Benz.

Sunday, March 20, 2016

Dr. Shein Afunguka : I expect a landslide .



Presidential candidate of the Chama cha Mapinduzi (CCM ) in Zanzibar , Dr Ali Mohammed spoke to reporters after casting his ballot in the center of Bungi , Kibera Unguja where he said he believes he will win by landslide and about the failure of said Waits election results are will determine . "I've had a chance to vote as my fundamental rights and there has been greater stability in this activity , the state of protection has been enhanced . " My hope is to win at the margins, about the failure of the author waits brother 's results will determine " He said the Dr . Ali MohammedShein
 

JIJI LETU Copyright © 2011 -- Template created by O Pregador -- Powered by Blogger